
Miss Uganda 2015/2016 Zahara Muhammad Nakiyanga
Mrembo huyo mwenye umri wa miaka 23, alifuatiwa na mshindi wa pili Juliana Nabwowe na watatu Engrid Wanyama.
Nakiyaga alikuwa akichukuliwa kuwa ni miongoni mwa wanaotarajiwa kutwaa taji la 'umiss' na alifanya vyema kuanzia mwanzo na kuwashinda washiriki wengine.
