Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Youssou msanii tajiri zaidi Afrika

Jumanne , 11th Mei , 2021

Youssou N'Dour,  huyu ni mwanamuziki kutoka nchini Senegal anatajwa kuwa ndiye msanii tajiri namba moja barani Afrika akiwa na utajiri wa dola milioni 145 – 150 hii ni kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na African Forbes 2021.

Pichani kutoka kushoto ni msanii Youssou N'Dour, Akon na 2 Baba (2 Face)

N'Dour alianza shughuli ya muziki miaka ya 70’s na ‘Mbalax’ ndio aina ya muziki anaoufanya na unapatikana kwao Senegal. 

Somo kubwa kutoka kwa Youssou N'Dour kwenda kwa wasanii wa Bongo Fleva ni kwamba, jamaa hana habari na mabadiliko ya kimuziki ambayo yamekuwa yakitokea kila uchwao, amebaki na aina ya kwao huko Senegal ambayo amedumu nayo kwa miaka na miaka.

Alishawahi kutajwa kwenye Tuzo za Grammy mara 6 na kushinda  mara 1, kitambo mno zaidi ya.miaka 20 nyuma na alishakuwa na Collabo za kimataifa na kina Wyclef Jean na Cannabis  miaka mingi iliyopita bila ya yeye kubadilika chochote.

Mwaka 2004, jarida la Rolling Stone lilimtaja Youssou N'Dour  kama mwimbaji mashuhuri aliye hai huko Senegal na sehemu kubwa ya Afrika.

Aliwahi kuwa Waziri wa Utalii Senegal kuanzia Aprili 2012 na alidumu mpaka Septemba 2013.

Orodha ya wasanii 10 matajiri Afrika

1.Youssou N'dour –  $145 Milioni
2.Akon – $80 Milioni
3.Black Coffee – $60 Milioni
4.Wizkid – $21 Milioni
5.Davido – $20 Milioni 
6.Don Jazzy – $18 Milioni
7.Burna Boy – $17 Milioni
8.2 Baba (2 Face) – $16.5 Milioni
9.Rude Boy – $16 Milioni
10.Timaya – $12 Milioni

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA