
msanii wa muziki wa nchini Kenya Xtatic akiwa na marehemu mama yake
Msanii huyo pia ameweka taarifa hizo katika kurasa zake za mitandao ya kijamii kuwafikishia ujumbe mashabiki yake juu ya wakati huo mgumu wa huzuni anaopitia sasa.
Salamu za rambirambi kutoka sehemu mbalimbali zimeendelea kumfikia staa huyo kumpatia faraja na eNewz pia tunamtakia faraja katika kipindi hiki cha maombolezo.
