Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wakazi amchimba mkwara Godzilla

Jumanne , 20th Jun , 2017

Rapa Wakazi amefunguka kwa kumchana Godzilla kwa kumwambia asijisumbue kwa madai ana kazi nyingi za 'mix stape' ambazo anaweza kuzitumia wakati huu wa ugomvi wao.

Kushoto ni Rapa Wakazi kulia ni Rapa Godzilla

Wakazi amebainisha hayo ikiwa ni siku moja kupita tokea apate kura nyingi zilizopigwa na wananchi kwa kumchagua msanii wanaomkubali baina ya hao wawili.

"Godzilla mimi haniwezi kwenye kuandika hata free style ila mimi ninampa tu heshima yake ya ku-free style kama ninavyompa Nikki Mbishi. Ana mapungufu mengi tu kuyaelezea lakini kama ametaka tumeamua kuyaelezea ila tu asijisumbue na 'body of work' nina kazi nyingi 'mix stape' sita, albamu tunatafuta tu mazingira ya kuzitoa 'maybe' mazingira yenyewe ndiyo haya sasa " alisema Wakazi

Pamoja na hayo, Wakazi amesema si kweli kwamba anamuonea Godzilla kwa kuwa ametambua ana msongo wa mawazo kwani hata yeye mwenyewe pia anatatizo hilo pia linalomsibu kwa upande wake hivyo amemtaka aache visingizio visivyokuwa na nguvu.

"Mimi sijui Godzilla anapitia vitu gani sasa hivi lakini mimi mwenyewe nina msongo wa mawazo nina binamu yangu amelazwa Muhimbili anahitaji figo na mpaka sasa sijui nafanyaje 'so' hakuna asiyekuwa na mawazo, kwenye muziki huwezi kusema kwamba hiki ndiyo kipimo cha mafanikio au ndiyo kipimo cha mtu huyu anaweza au visiter le site web du posteur hawezi kwa sababu kama hivyo yeye ndiyo anasemekana ndiyo 'the best in free style' halafu sasa inakuaje naaambiwa namuonea au ndiyo inawezekana alishinda wakati mimi sikuwepo?" alisisitiza Wakazi 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu