Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vodacom yatoa somo kwa vijana kuhusu EATV Awards

Jumanne , 13th Dec , 2016

Kampuni ya mtandao wa simu ya Vodacom Tanzania imewashauri vijana hususani wenye vipaji vya sanaa za muziki na uigizaji kutumia jukwaa la EATV Awards ili kutangaza kazi zao kimataifa.

Mkuu wa Mawasiliano VODACOM, Nandi Mwiyombella (wa pili kushoto) akikabidhi tuzo kwa Alikiba katika usiku wa EATV Awards

Vodacom ambao walikuwa ni miongoni mwa wadhamini wa Tuzo za EATV zilizohitimishwa mwishoni mwa wiki, imesema kuwa imeamua kufanya kazi na EATV kutokana na kuamini kuwa kuna mwanga mbele kwa kuangalia mfano katika mashindano ya Dance100% ambayo pia Vodacom inadhamini.

Akizungumza na EATV na EA Radio Mkuu wa Mawasiliano wa Vodacom, Nandi Mwiyombella ambaye alikuwa ni mmoja kati ya waalikwa wa tukio hilo la utoaji tuzo amesema Vodacom imeridhishwa na jinsi shughuli nzima ilivyopangwa na kufanyika na kwa kiasi kikubwa malengo yao yametimia.

Msikilize hapa

Nandi (Katikati) kwa niaba ya Vodacom, akitangaza rasmi kampuni hiyo kudhamini tuzo za EATV katika uzinduzi uliofanyika mwezi Agosti mwaka huu

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali