Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: Muziki haujawahi kunilipa - Baghdad

Jumatano , 29th Mar , 2017

Msanii wa hip hop Bongo Baghdad amekuwa na mawazo ya tofauti na wasanii wenzake baada ya kufunguka kwenye Planet Bongo ya EA Radio kuwa hafanyi kazi ya sanaa kwa ajili ya kipato bali anarudisha fadhila kwa watu.

Baghdad

Baghdad amesema muziki haujawahi kumpatia pesa lakini umempatia njia nyingi ya kufanya kazi ambazo zimekuwa zikimuingizia kipato na kusababisha maisha yake yasonge mbele.

"Muziki mimi naufanya kwa kurudisha fadhila, haujawahi kunipa hata 'Single cent', lakini kuna watu waliniamini wakanipatia nafasi ya kuonekana kwenye huu muziki ndiyo maana nafanya kwa ajili ya kuwaburudisha. Muziki umenipatia nafasi za kuonekana na ndiyo maana nasema narudisha fadhila" - Baghdad.

Aidha Baghdad ameongeza kuwa mchango wake umesaidia kuwafikisha asilimia 40 ya wasanii wanaosikika katika game ya bongo fleva hapo walipo na anafurahi kuona wanafanya vizuri.

"Siwafichi mimi kwa mara ya kwanza Edu Boy alinitambulisha kwa Young Killer nikatia mkono wangu, lakini Msanii wa WCB Rayvan nilimsaidia na hata mpaka anaenda Tip Top connection ulikuwa ni mpango niliouandaa, nashukuru Mungu sasa hivi yeye anaendesha gari mimi bado nadandia bajaji najivunia sana kuwa nyuma yake" - Baghdad alikazia.

Hata hivyo msanii huyo amewataka mashabiki zake wavumilie muziki anaoufanya kwa sababu amedhamiria kufanya muziki unaoishi kwa madai kwamba  mitindo huru 'free style' inasikilizwa na vijana wachache huku wazee wakiwa ndiyo wengi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali