Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

VIDEO: Linex amkataa Lulu Diva

Jumatano , 28th Jun , 2017

Msanii wa bongo fleva mwenye hit song ya 'Yaongoze' Linex Sunday Mjeda amefunguka kwa kudai kwamba hamkumbuki Lulu Diva kama mwanamuziki bali anamkumbuka kama shabiki tu.

Lulu Diva kushoto na kulia ni Linex

Linex amebainisha hayo kupitia kipindi cha eNewz kutoka EATV baada ya ku 'blockiwa' na msanii mwenzake Lulu Diva kwa kile kinachodaiwa kuwa Linex kumtukana mwanadada huyo kwenye 'comment' ya picha aliyokuwa ameweka katika mtandao wake wa instagram.

"Inawezekana nikawa nimem-comment kama shabiki kutokana pale nilikuwa nime-post tangazo la biashara na ndiyo maana nikasema 'Kaka zako wanapokuwa mipangoni  kwamba wewe unatakiwa utulie...Wewe unaweza kukasirika kublokiwa na mtu ambaye hata haumjui ?, kwanza sidhani hata kama namba yangu anayo, sijui hata kama nimem-follow. Siyo lazima kila mtu akujue mimi mwenyewe naweza nikapita mtaa na mtu asinijue" alisema Linex.

Mtazame hapa anavyofunguka zaidi.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali