Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vibandiko vya Wema Sepetu na Hamisa Mobetto

Jumapili , 20th Jun , 2021

Ni headlines za mastaa wawili wa kike hapa nchini Wema Sepetu "Tanzanian Sweetheart" na Hamisa Mobetto ambao wameonekana kuvaa vazi la aina moja kwenye mitupio yao na hata pozi kufanana katika picha walizopiga.

Kulia ni Wema Sepetu, kushoto ni Hamisa Mobetto

Katika mavazi yao wameonekana wote wamevaa nguo nyeupe juu mpaka chini na kutupia kofia inayojulikana kwa jina la kibandiko kwenye vichwa vyao.

Wa kwanza kuvaa vazi la aina hiyo ni Wema Sepetu ambapo alitokelezea nalo kwenye siku ya Uzinduzi wa Album ya Zuchu iliyofanyika siku ya Julai 18 iliyofanyika Mlimani City Dar es Salaam.

Baada ya kumalizika kwa shughuli hiyo Wema Sepetu akapost picha akiwa na vazi hilo na akaandika "Malkia wa usiku wa mwisho, kubali au kataa ndio iko hivyo, nilijua kuwaka jana aisee niligiwa simu mpaka na watu wasiojulikana mkisikia nimetekwa msiogope, nimeona nijisifie maana kama kunijaza mmenijaza wenyewe"

Sasa leo Juni 20, 2021 Hamisa Mobetto naye akatupia tena vazi la aina kama hiyo na picha zake ameshea kwenye page yake ya Instagram kwa kuandika "Kuwa na ujasiri au italiki, kamwe usiwe wa kawaida".

Kiukweli 'Diva's' wote hawa wamependeza sana kwenye mitupio hiyo ila unaweza ukashea comment yako kwamba nani katupia zaidi.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi