
M-Rap amesema kuwa, wimbo huu ambao una siku kadhaa tu tangu kuachiwa kwake, anaamini kuwa utamfikia mhusika japo haimaanishi kuwa anataka warudiane.
Kuhusiana na ishu hii, M Rap katika maelezo yake kwa eNewz hivi ndivyo anavyofunguka.
M-Rap, rapa mwenye umri mdogo ameweka wazi kuwa, ngoma yake mpya, Usiende Mbali ambayo ndani yake amemshirikisha Jux, ni stori ya kweli kabisa inayomhusu mrembo aliyekuwa anadate naye katika kipindi cha
cha nyuma kabla ya kuachana.
M-Rap amesema kuwa, wimbo huu ambao una siku kadhaa tu tangu kuachiwa kwake, anaamini kuwa utamfikia mhusika japo haimaanishi kuwa anataka warudiane.
Kuhusiana na ishu hii, M Rap katika maelezo yake kwa eNewz hivi ndivyo anavyofunguka.