Kaimu Katibu Mtendaji BASATA Matiko Mniko kushoto, kulia ni Diamond Platnumz na Zuchu
Matiko Mniko anasema video yao itaruhusiwa na kuendelea kuruka hewani endapo wakifanya marekebisho.
Interview nzima na Kaimu Katibu Mtendaji wa BASATA Matiko Mniko akizungumzia kufungiwa kwa video ya Mtasubiri.