
Christian Bella na Hamisa Mobetto
Bella amesema hayo akipiga stori na eNewz ya EATV, ambapo amesema kuwa pindi anapomuona Mobetto anaona sura za watu ambao ameshatoka nao, jambo ambalo linaweza kumfanya aonekane tofauti.
"Shemeji kabisa, ukimuangalia kuna sura za washkaji kabisa, kidogo watauliza 'vipi mzee'", amesema Christian Bella.
Mtazame hapa akizungumza zaidi.