Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

The WD, vinara Dance 100% 2015

Jumatatu , 12th Oct , 2015

Kundi la kudansi la The WD watangazwa rasmi kuwa mabingwa wa mashindano ya Dance 100% 2015 baada ya kujivunia alama za kutosha na kujinyakulia zawadi ya ushindi shilingi milioni 5 sambamba na kombe kama ishara ya taji hilo.

Kundi la kudansi la The WD watangazwa rasmi kuwa mabingwa wa mashindano ya Dance 100% 2015 baada ya kujivunia alama za kutosha na kujinyakulia zawadi ya ushindi shilingi milioni 5 sambamba na kombe kama ishara ya taji hilo, wakifuatiwa na Team Ya Shamba walioshika nafasi ya pili na kujinyakulia shilingi milioni 1 wakifuatiwa na Best Boys Kaka Zao waliokamata nafasi ya 3 na zawadi ya shilingi laki 5.

Wakiongea baada ya kushinda taji hilo, The WD wameeleza kuwa wanafurahi sana kwa kuweza kubeba heshima hiyo kubwa, kuweza kupenya kutoka mchujo wa makundi shiriki yapatayo 50 yaliyoweza kujitokeza kwa mwaka huu, sambamba na kutoa shukrani kwa East Africa Radio na East Africa Television kwa kuwapatia jukwaa la kuonesha uwezo wao.
Mashindano hayo yalifanyika kwa raundi mbili, ya kwanza ikihusisha makundi kucheza muziki - megamix ambazo walitengeneza wenyewe zikibeba asilimia 40% ya jumla ya alama, huku mzunguko wa pili ukihusisha makundi hayo kucheza muziki walioandaliwa na kubeba alama 60%.

Makundi ya The Winners Crew waliokuwa wanawania taji hilo kwa mwaka wa tatu sasa na Team Makorokocho ambao ilikuwa ni mara ya kwanza kushiriki wanabaki katika rekodi kama washiriki walioweza kupambana kuingia katika fainali za mashindano hayo kwa mwaka huu.

Usikose kutazama eNewz kesho kujionea kwa undani matukio muhimu yaliyojiri katika fainali hizo mpaka kupatikana kwa mshindi na kumbuka, Dance 100% 2015 inadhaminiwa na Vodacom Tanzania na Cocacola, kinywaji rasmi cha Dance 100% 2015.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu