Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Shindano la Dance100% lifike mikoani - Jokate

Jumatano , 28th Sep , 2016

Mrembo Jokate Mwegelo ameshauri shindano la Dance 100% lijalo lifike mikoani ili kuweza kupata vipaji vingi zaidi kuliko ilivyo sasa ambapo vijana wanaopenda kushiriki hulazimika kuja Jijini Dar es salaam.

Jokate Mwegelo

Jokate ameyasema hayo Jijini Dar es Salaam aliposhiriki kutazama fainali za Dance100% zilizofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Don Bosco Jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na mamia ya watizamaji.

“Ni mara yangu ya kwanza kushuhudia shindano hili nilikuwa sujui kama huwa linapendeza na kuvutia namna hii, kumbe kuna vipaji vingi sana vipo mtaani kama hapa hali niliyoiona ndiyo hii” Amesema Jokate.

Jokate ameongeza kuwa kama shindano la Dance100% litafika mikoani litaifanya jamii kuwa na muamko zaidi na kuwafanya vijana kujumuika pamoja na kufahamiana kupitia shindano hilo.

Shindano la Dance100% kwa mwaka huu limemalizika na matukio yote yataoneshwa siku ya Jumapili saa moja jioni kupitia EATV.

Aidha mwaka huu kundi la Team Makorokocho liliibuka na ushindi na kujinyakulia kitita cha milioni saba jambo ambalo limeongeza hamasa ya mashindano hayo kwa vijana wengine nchini.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali