![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/field/image/161.jpg?itok=N7204DYW×tamp=1473196981)
Msanii wa muziki wa injili kutoka nchini Kenya Sarah Kiarie
Sarah Kiarie amesema kuwa, kutoka nchini kwao Kenya, ana uzoefu wa namna ambavyo machafuko yanaweza kutibua hali ya mambo, huku imani yake ikiweka dhahiri kuwa Tanzania itamaliza shughuli ya kuchagua viongozi wake wa nchi kwa mafanikio bila kutibuka kwa amani kwa namna yoyote ile kutokana na sifa kubwa ambayo nchi hii inajibebea kuhusiana na suala hilo.
![](http://eatv.tv/sites/default/files/styles/detailpageimg/public/g_29.jpg?itok=BeLqWN4H)