Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Saida Karoli awachana wenzake.

Jumanne , 12th Sep , 2017

Msanii wa muziki wa kike kutoka Tanzania Saida Karoli, ambaye sasa amerudi kwa kishindo baada ya kimya kirefu amewatolea uvivu wasanii wachanga wa kike wenye tabia za kujikweza na kujiona bora zaidi ya wenzao, na kusema tabia hiyo inakera kila mmoja.

Saida Karoli

Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Saida Karori amesema tabia hiyo haifai kwani bado wana safari ndefu kwenye muziki, hivyo wasipokuwa makini watakosa hata watu wa kuwaokota pale ikitokea wakianguka.

"Kwa kweli hilo suala ni kero, na siyo tu kwangu, ni kero kwa ujumla, na siyo nzuri kwa sababu inasababisha mtu unashuka ghafla, mtu unapokuwa na upendo halafu hujisikii, wale uliokuwa ukiongea nao siku za nyuma ndiyo wanaku-suport kukubeba unapoanguka, hiyo ni tatizo kwao", amesema Saida Karoli.

Kwa muda mrefu Saida Karoli alikuwa nje ya 'game', lakini sasa amerudi huku akiwa ameachia kzi mpya mbili, na yuko mbioni kufanya collabo na msanii Eddy Kenzo wa Uganda.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali