
Kuhusiana na kazi hii ambayo imefanywa na prodyuza Mbezi, Black Rhino ambaye ana utambulisho wa aina ya kipekee ya flow katika muziki wa Bongo, amefafanua kwa mashabiki wake juu ya kazi hii, ya kolabo na Ngwair na ni kwanini anataka kuiachia wakati huu kupitia mahojiano yake na eNewz hapa.