msanii wa Kenya DNA
Rapa huyo ambaye hivi sasa anafanya muziki wa injili ni takriban mwezi mmoja tokea aachane na lebo ya Grandpa kutokana na kukosa shows na dili mbalimbali akiwa ndani ya lebo hiyo.
Hivi sasa 'Bwana DNA' kama ambavyo amejibatiza jina hilo amesisitiza kuwa ukiwa una google kutafuta jina la DNA unaletewa maana nyingi ambazo hazimpendezi, hivyo ameamua kuongezea neno 'Bwana' ili liwe la kipekee zaidi.




