msanii wa muziki nchini Quick Rocka
Rapa huyu amesema kuwa, mpango wake katika hili unaweza kuanza mwaka ujao ambapo anatarajia kuanza na msanii mpya ambaye hajawahi kusikika kabisa katika anga za muziki hapa Bongo.
Vile vile wakati mpango huu ukiwa katika mchakato, Quick Racka akagusia suala la mkataba wake na MJ Records ambapo amesema kuwa wanaendelea kama kawaida huku akipata sapoti kubwa kutoka kwa Master J mwenyewe.
