
msanii wa miondoko ya bongofleva Quick Rocka
Quick Rocka amesema kuwa, wazo hili amelitengeneza akiwa na producer wake Bano, na wameamua kufanya hivi kuwaelezea mabishoo katika mtazamo wa kisasa kabisa, na kutoa rekodi hii ambayo ndani yake rapa huyu amebadilika kwa kiasi kikubwa na kuwekeza pesa ya kutosha, na hapa anaeleza mwenyewe zaidi.
