
Kim aliachiwa huru nchini Uganda baada ya kukosekana kwa ushahidi wa kutosha kumfunga kutokana na kosa hili, ambapo katika maelezo yake aliweka wazi kuwa alibeba mzigo huo bila kufahamu ni dawa za kulevya kwa maelekezo ya Kim, kauli ambayo ni wachache walimuamini kwa wakati ule.
Kwa sasa Iryn ana kila sababu ya kufurahi hasa kutokana na tukio hili la kukamatwa kwa Kim kutoa picha halisi ya aina ya mtu ambaye Iryn alikuwa akifanya naye kazi.