Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Producer Tiddy Hotter amchana Sappy

Jumanne , 10th Jan , 2017

Producer Tiddy Hotter ambaye ametengeneza wimbo wa 'Phone' wa Ben Pol amefunguka na kusema mara nyingi amekuwa akiwapa wasanii mbalimbali 'beat' pamoja na idea za nyimbo lakini wasanii hao wamekuwa wakipotezea beat pamoja na idea hizo.

Mtayarishaji wa muziki wa bongo fleva, Tiddy Hotter.

 

Tiddy Hotter amesema hayo kwenye kipindi cha Planet Bongo na kusema beat ya wimbo wa Ben Pol alimpa msanii wa Sappy ambaye aliomba sana japo afanye naye kazi moja na kusema alimpa beat hiyo pamoja na idea ya 'Phone' lakini baada ya hapo hakuifanyia kazi au aliipotezea hivyo akaamua idea na beat hiyo kumpa Ben Pol.

"Mimi namjua sana Sappy anapenda sana kiki, msanii wa Sappy aliniomba sana nifanye naye japo wimbo mmoja hivyo nikajaribu kumpa idea ya 'Phone' nikafanya beat nikampa nilivyoona haifanyi nikaamua kumpa Ben Pol.

Hotter aliendelea kufunguka na kujibu tuhuma za Sappy kuhusu aliyedai kuwa Ben Pol aliiba idea yake ya ngoma hiyo

"Unajuaga wasanii unaweza kumpa idea au beat harafu yeye akaipotezea na mpaka sasa nina idea nyingi nimewapa wasanii na wasipozifanya mimi nitawapa wasanii ambao wanaweza kufanya jambo na kulisimamia. Hivyo kwenye hilo suala Sappy hausiki kabisaa maana mimi sikumpa yeye bali alikuwa msanii wake bora hata huyo msanii wake ndiye angeongea maana mimi nilitaka kumpa idea hiyo msanii wake tu na si huyo Sappy" alisema Tiddy Hotter 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi