
-
Akiwa na ndugu zake katika kundi la Morgan Heritage, Peter aliwahi kushinda tuzo ya Grammy kupitia albamu yao ya Strictly Roots katika kipengele cha Albamu Bora ya Reggae mwaka 2016.
-
Itakumbukwa pia Peetah kupitia kundi la Morgan Heritage aliwahi kufanya kazi na wasanii kama Diamond Platnumz na Harmonize wa hapa Tanzania.