
Patrick Kanumba kushoto, kulia ni Gigy Money
Akijibu hilo kupitia EATV & EA Radio Digital, Patrick Kanumba amesema.
"Hapana sio kweli chanzo chake sijui imetokea wapi mimi nashangaa, sijawahi kuwa kwenye mahusiano naye kabisa hata hao watu wa mitandaoni sijui nao wanatoa wapi nashangaa".