Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nyumba ya Fid Q yanusurika kubomolewa

Jumamosi , 17th Feb , 2018

Mwenyekiti wa serikali za mtaa wa Mbweni Teta, Abdallah Mrisho amefunguka na kudai sio kweli nyumba ya msanii Fid Q imejengwa katika kiwanja kisicho rasmi kwa shughuli za makazi bali watu wanafananisha na eneo hilo na nyumba ya serikali za mtaa huo.

Mrisho ametoa ufafanuzi huo wakati alipokuwa anazungumza na eNewz kutoka EATV baada ya kuibuka tetesi kuwa Fid Q ameingizwa 'mkenge' kwa kuuziwa kiwanja kisicho rasmi katika shughuli za makazi na kulazimika nyumba hiyo aliyojenga kuvunjwa ili kupisha shughuli za serikali ziweze kufanywa.

"Kwa ufahamisho tu zaidi katika upande wa 'block 4' nyumba ya kwanza kabisa ni ya Fid Q na ya mwisho kabisa katika mtaa huu naishi mimi mwenyewe. Labda niwatoe wasiwasi kwa wale waliokuwa wanasikia kwamba Fid Q amejenga nyumba katika eneo la wazi na nyumba kuwa ipo hatari kuvunjwa niseme tu hapana labda hawakuweza kupambanua kati ya nyumba yake na nyumba ya ofisi za serikali za mtaa kwa sababu hivi vitu vinashabiana", amesema Mrisho.

Kwa upande wake, Fid Q alipofuatwa kuzungumzia suala hilo hakuweza kusema lolote zaidi ya kusema anashukuru.

Mtazame hapa chini Fid Q akishikwa na kigugumizi kuzungumzia suala hilo.

HABARI ZAIDI

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20

Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Anton Sabasaba Akizungumza wakati alipohudhuria kikao cha wazazi katika Shule ya Msingi Elisabane Mei 24, 2024

Wototo wafuatiliwe na kulindwa kama mboni - Anton

Maduka ya Wafanyabiashara yakiwa yamefungwa

Wamiliki wa maduka Mebya wafunga biashara zao