
Katika hafla ya utoaji tuzo za filamu waigizaji wakenya wamefanikiwa kutwaa tuzo 4 kati ya 5 kutokana na uigizaji na ushiriki wao mahiri kupitia filamu iliyoshika chati ya Nairobi Half Life.
Waigizaji hao ni Mohammed Zain, Barbara Minishi ambaye ameshinda katika kipengele cha Best Art Director, pia wamo Njoki Muhoho, Christian Almesberger na Elayne Okaya.