Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nusu Fainali Dance 100 yatikisa, 5 watimba fainali

Jumamosi , 13th Sep , 2014

Baada ya mchuano Mkali, Makundi 5 ya kudance, Wakali Sisi, Wazawa Crew, Best Boyz, The WT, na The Winners yamefanikiwa kuingia katika hatua ya fainali ya mashindano makubwa kabisa ya kudansi Afrika Mashariki, Dance 100% 2014.

Washindi wa leo wakiwa pamoja baada ya kutangazwa kushinda kuingia hatua ya fainali.

Tukio la kipekee pia kutoka katima mashindano haya ni rekodi iliyowekwa na kundi la Wazawa kwa kupata maksi 100 kutoka kwa jaji Super Nyamwela baada ya ubunifu wao kufurahisha wengi na kumgusa jaji huyu kipekee.

Makundi yaliyoshiriki hatua hii ni Quality Boys, Wakali Sisi, The Winners, Tatanisha Dancers, Mazabe Powder, The WT, Best Boys, Wazawa Crew, Dar Crew na G.O.P ambao waliingia uwanjani kwa mizunguko miwili, moja wakiwa wanacheza Megamix zao nay a pili wakiwa wanacheza nyimbo walizoandaliwa na kuzichagua wenyewe.

Mashindano haya yamefanyika leo na kuleta burudani ya aina yake kwa umati mkubwa wa mashabiki waliohudhuria katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam.

Kwa kufuatilia kilichotokea leo usikose kutazama show kali ya Dance 100% kupitia EATV siku ya Jumatano saa 1 kamili jioni.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali