Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nimechagua kuwa huru - Nay wa Mitego

Jumatano , 11th Oct , 2017

Msanii Nay wa Mitego amewataka mashabiki wake wamuache apumue kwa kumsakama kwamba kafulia, huku akisema maisha anayoishi sasa ameyachagua na anakuwa huru zaidi.

Akiongea na mwandishi wa East Africa Television, Nay amesema maisha ya kutembea kwa miguuu au kupanda bajaji ni maisha yake aliyokulia, kwani hata marafiki zake ni watu wa kawaida, na pia hapendi kuishi maisha ya umaarufu kama ambavyo wasanii wengi wanafanya.

"Jamai niacheni nipumue, haya ndio maisha yangu niliyoyachagua, kupanda bajaji au daladala ni sehemu ya maisha yangu, mimi nimetokea mtaani siwezi kuishi bila kuheshimu mtaa, hata marafiki zangu ukiwaangalia ni wa kawaida sana, kwa hiyo kutembea kwa miguu isiwe sababu, halafu kama hujagundua mimi napenda maisha ya kawaida, siishi kistaa kama wengine, na pia nikiishi hivi nakuwa huru zaidi", amesema Nay wa Mitego.

Hivi karibuni msanii huyo amekuwa akiandamwa na badhi ya watu kwa kuuza magari yake na kuonekana akitembea kwa bajaji au miguu sehemu mbali mbali. 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi