Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

"Nilimroga bosi wangu, akiniona anisahau" - Frans

Alhamisi , 19th Nov , 2020

Muimbaji wa nyimbo za Injili Frans Kalitusi amefunguka kusema kitendo cha kuokoka kumemfanya aache mambo ya kuroga na kushinda kuwaangalia wanawake kwani mambo hayo alikuwa anayafanya kabla ya kujikabidhi kwa Yesu.

Muimbaji wa nyimbo za Injili France Kalitusi

Akizungumzia hilo kupitia EATV & EA Radio Digital, amesema kabla ya kuokoka hakuwa kama alivyo sasa, ila baada ya kuokoka anaona anakubalika na jamii inamuelewa kile anachokifanya kwenye kazi ya kutangaza neno la Mungu.

"Kabla ya kuokoka nilikuwa naenda sana kwa waganga kuroga ili mambo yangu yaende au mwanamke akipita mbele yako unamtamani lakini ukiokoka vile vitu vyote vinabadilika na kufuata mfumo wa Mungu na maelekezo ya Biblia" amesema Frans Kalitusi 

Aidha akaongeza kusema "Nilikuwa nafanya kazi kwenye Chuo cha Ufundi, kuna mali zilipotea kwenye mikono yetu mwisho wa siku tukagundulika, wenzangu wakakamatwa na kufukuzwa ila mimi nikaenda kwa Mganga ili nisiwezi kuonekana, boss wangu akiniona akawa anasahau na kumbukumbu zinampotea"

Aidha msanii huyo amesema baada ya hayo akaamua kufuata neema ya Mungu kwa kuokoka kupitia Mchungaji wake ambapo akaanza kumtangaza Yesu kwamba anaweza kwa yale aliyomfanyia.

 

Mwimbaji huyu anapatikana facebook kwa jina la Frans Kalitusi na Instagram anaitwa FransKalitusi

Unaweza kuusikiliza wimbo wake hapo chini

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali