Picha ya msanii Nandy (kushoto), Ibrah Nation (katikati) na Dayna Nyange (kulia)
Mpaka sasa zaidi ya EP’s 5 tayari zimeingia sokoni huku bado nia na kiu ya wasanii wengi ni kubwa kuendelea kuachia kazi zao kabla mwezi huu kutamatika.
1.Nandy - Taste (Juni 3)
2.Dayna Nyange – Elo (Juni 17)
3.Ibrah Nation – Addicted (Juni 4)
4.Belle 9 – Baba Boss (Juni 9)
5.Izzo Bizness – The Carpricon (Juni 24)


