Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nay wa Mitego atangaza hali ya hatari

Jumatano , 15th Feb , 2017

Rapa Nay wa Mitego ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake wa mapenzi 'Sijiwezi' amefunguka na kusema kesho Alhamisi, Februari 16 anaachia kazi ambayo itakuja kuleta shida nyingine mjini.

Nay wa Mitego akiwa Kikaangoni

Akiongea kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa LIVE kupitia ukurasa wa facebook wa EATV, Nay wa Mitego amesema sasa ni wakati wake na ni muda wa kuwapa burudani wale mashabiki zake wa hip hop ambao wamemzoea kumuona Nay wa Mitego kwenye michano na kurekebisha watu tabia.

Akiielezea kazi hiyo aliyoipa jina la 'Muda Wetu' Nay wa Mitego amedai kuwa hivi sasa ni wakati wa wasanii fulani fulani kufunga vilago kabisa na kuondoka katika game kwani tayari huu siyo muda wao lakini pia hawatakiwi hata kujipanga upya bali wanatakiwa kuondoka kabisa.

Kuhusu kuwa na hofu ya kufungiwa na Baraza la Sanaa Tanzania BASATA, Nay amesema hafanyi kazi kwa kuihofia BASATA "Sifanyi muziki kwa kuangalia kama utafungiwa na basata au hautafungiwa"

Mbali na hilo Nay wa Mitego anasema katika maisha ya kawaida yeye amekuwa mwekezaji mzuri sana kwenye ardhi hivyo anatumia nafasi hiyo kujipanga na maisha yake ya baadaye kwa kuwekeza vya kutosha kupitia ardhi.

 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi