Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Navy Kenzo 'wamteka' Ditto

Jumatano , 18th Jan , 2017

Msanii wa bongo fleva Ditto amesema anajipanga kurudi na mfumo wa  kuachia albam ya nyimbo zake mwishoni mwa mwaka huu japo haijazoeleka kwa wasanii wa Tanzania.

Ditto

Uamuzi huo wa kutoa albam unamfanya awe ameungana na wazo la kundi la muziki huo la Navy Kenzo ambao pia mwishoni mwa mwaka jana walitangaza kuja na albam ya ngoma zao inayokwenda kwa jina la AIM hivyo inawezakana Ditto akawa ametekwa kimawazo na 'idea' hiyo ya albam kutoka kwa Navy Kenzo.

Akiongea kupitia eNewz Ditto amesema kwa sasa anaendelea kurekodi nyimbo nyingi ili hapo baadaye aweze kuchagua ni zipi ambazo zinafaa kukaa kwenye albam yake ingawa kwa sasa ataachia nyimbo mbalimbali ili kuweza kurudisha mashabiki zake na kurudisha hadhi yake ya zamani.

Pia Ditto amesema kwa sasa anajipanga kutengeneza utamaduni wake na akifanikiwa kwa hilo atajiingiza kwenye biashara za kuachia albam mbalimbali na pia amewashukuru mashabiki kwa kuupokea vyema wimbo wake wa moyo sukuma damu.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi