
Pichani ni Rayvanny na Diamond
Kupitia mtandao wa X Zamani Twitter mdau huyo ameandika..........Bado Vanny Boy Anapaswa kujitafakari, Nesa Nesa Imerudi Upya with Most Diamond Platnumz’s fovarable Verses, Kwanini Sio Yeye ?
Rayvanny Ameshuka Iwe Allert call, Asipuuze Haya Maneno, Asituprove Kutoka WCB ndio Chanzo cha Yote Ingawaje Inaweza kuwa Kweli ''