Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baraka aikimbia suluhu na Rockstar

Jumapili , 12th Nov , 2017

Meneja wa wasanii wa muziki wa bongo fleva ambaye pia ni mpiga picha maarufu bongo, Mx Carter, amesema alishawahi kuomba uongozi wa Rockstar 4000 uliokuwa unamsimamia Baraka kukaa chini kuzungumza ili kumaliza mgogoro wao, lakini aligomea jambo

Mx Carter ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye #eNewz ya East Africa Television, na kusema kwamba kwa sasa msanii huyo ana stress za muziki, hivyo aliona ni vyema kaa chini na uongozi wake wa zamani ili kumaliza tofauti zao zilizopo na kila mmoja aendelee na mambo yake kwa amani, lakini Baraka alikimbia jambo hilo bila sababu za msingi.

“Nilijaribu ku-'arange meeting' yeye na Rockstar wakae pamoja wamalize hili tatizo ili Baraka aendelee na situation zake na Rock Star waendelee na situation zao, Rockstar waliwekeza kwa Baraka walikuwa wanataka kurudisha fedha zao, lakini hiko kitu hakikutokea kiubishi ubishi tu”, amesema Mx Carter.

Hivi karibuni kumeibuka mgogoro mkubwa kati ya msanii huyo na lebo yake ya zamani RockStar 4000 na Mx Carter, akiwatuhumu kuingia kwenye acount yake ya YouTube na kupunguza views zake kwenye kazi yake mpya.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali