Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Msanii mwingine apata dili kimataifa

Jumatatu , 19th Feb , 2018

Mchekeshaji maarufu na mwenye umri mdogo zaidi kutokea nchini Nigeria Emanuella Samuel amepata 'shavu' jipya la kufanya kazi na kampuni kubwa dunia ya utengenezaji filamu ya Disney Studios.

Hayo yamebainishwa na Emanuella mwenyewe kutumia ukurasa wa kijamii anaoutumia kwa kuweka picha zenye ujumbe wa kuwashukuru watu wa karibu walioweza kumpa ushirikiano muda wote.

"Asanteni Disney Studios, Mungu awabariki watu wote mlionipa ushirikiano mpaka kufika hapa. Sikuwahi kuota kuwa hapa. Sikuwa na ndoto ya kuwa hapa mapema hivyo, nina shauku na mafanikio yangu ya awali. Nawapenda wote", ameandika Emanuella.

Emanuella alijizolea umaarufu sehemu nyingi Afrika, baada ya kusambaa kwa video ya vichekesho iliyopewa jina la ‘My Real Face’ na mpaka sasa amebahatika kushinda tuzo mbili za (AAMMA) nchini Australia na kutunukiwa taji la 'Princess of Comedy' na serikali ya nchi hiyo.

Kipaji cha Emanuela kiligunduliwa na mjomba wake 'Mark Angel' baada ya binti huyo  kuigiza vizuri nafasi aliyoshindwa mtoto mwingine. 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi