Mr P ameeleza kuwa sio tu kubadilisha tu tarehe hata zawadi wala pongezi zozote zitakazokuja siku ya tarehe 18 hatazipokea kutoka kwa mtu yoyote yule.
Uamuzi huu unaaminika ni kutokana na ugomvi uliyopo kati yake na pacha wake ambao umedumu kwa muda mrefu sasa.




