Jumapili , 24th Sep , 2023

Msanii Saynag TZ ameiambia Friday Night Live sio rahisi mwanamke kuanza kumwambia mwanaume kama anampenda labda mwanamke akiwa kibiashara inaweza kuwa rahisi kwao kusema hivyo.

Picha ya msanii Saynag Tz

"Wanawake kusema nimekuzimia ni ngumu, sasa hivi mwanamke akikwambia hivyo ujue yupo kibiashara".

Saynag ameongeza kusema wanawake wa kibiashara ni rahisi kumwambia mwanaume nakupenda kwa sababu kuna vitu anataka au anategemea atavipata  kiwepesi kwa mwanaume huyo.