
Malamiko ambayo alikuwa anayatoa topic_mouth, ni kwamba baadhi ya watu wamekuwa wakimshuku na marafiki zake wakimuogopa kwa kuwa muonekano wake ni kama NairaMarley,
Hii inakuja mara baada ya sakata la kifo cha mwanamuziki ''Mohbad'' ambacho kimegubikwa na utata na moja kati ya watu wanaohisiwa kuhusika na kifo hicho ni Nairamarley. Lakini ni (mitazamo ya watu tu) hakuna uchunguzi uliyothibitisha hili.