Picha ya Yusuph Mlela
"Kwa hawa vijana wanaokuja sasa hivi nimewa-inspire wengi sana, ukiangalia asilimia nyingi nimewafanya kuingia katika game na mimi ndio Role Model wao, kwangu ni kitu kizuri kuna muda nakutana nao nawapa ushauri".
Pia Yusuph Mlela amesema tasni ya filamu bado inahitaji watu wengi kwa sababu waliopo ni wachache.