Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mchepuko kachepuka - Dude

Jumatano , 23rd Mei , 2018

Msanii wa filamu nchini Kulwa Kikumba maarufu kama Dude, amefunguka kuwa wanaume ambao wanaanzisha mahusiano nje ya ndoa maarufu kama michepuko wanakuwa na hofu pindi wakirudi nyumbami wakiwa na wake zao.

Dude amesema hayo leo Mei 23, 2018 katika kipindi cha DADAZ kinachorushwa na kituo cha EATV kila siku ya Jumatano saa 5:00 asubuhi mpaka 6:00 mchana na kuongeza kuwa wanaume hao wanakua na wasiwasi mwingi kwa kuhofia michepuko yao, huenda wamenzisha mahusiano na watu wengine kipindi ambacho wanaume hao wapo na wake zao.

“Shida ambayo wanaipata (wanaume) ambao wanachepuka wanakosa 'control' kipindi cha usiku kinapofika, wewe unamchepuko basi unalala kwa wasiwasi kwasababu umerudi kwa mkeo, unawaza mchepuko nae anaweza kuwa na mchepuko, mchepuko kachepuka”, amesema Dude.

Dude ameongeza kuwa wasichana ambao wanatenmbea na waume za watu wanatabia ya kuanzisha mahusiano mengine kwasababu hawapendi kuwa na mahusiano na mtu ambaye anamke tayari hivyo wao kutumika kama chombo cha starehe

Muigizaji huyo amewasihi wanaume kuacha tabia ya kuanzisha mahusiano ya nje ya ndoa bali watenge muda mwingi kwaajili ya kuboresha familia zao ili kuepuka migogoro katika ndoa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali