Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Malaika afunguka kuhusu matumizi ya Mbwa Puppy 

Jumatatu , 10th Mei , 2021

Baadhi ya wasanii na watu maarufu wengi duniani wamekuwa na 'style' ya kufunga mbwa wadogo aina ya 'Puppy' ambao huwafanya kuwa wanyama rafiki wawapo nyumbani kwao au hata kwenye mitoko yao.

Msanii Malaika na mbwa wa aina ya Puppy

Sasa msanii wa muziki Malaika amenyoosha maelezo kuhusu matumizi ya mbwa hao ambaye hata yeye anaishi nae nyumbani kwake Kigambono Dar es Salaam.

"Kigamboni ninao majirani sipati Upweke nyumbani kwa sababu kuna wageni wanakuja, matumizi ya vile vi-puppy (Mbwa) huwa vinakupa company, unamtoa nje na yeye ku-enjoy" amesema Malaika

Staa wa filamu Wema Sepetu aliwahi kuweka dau la Tsh Milioni 1 mpaka 2 kwa mbwa wake wa aina hiyo aitwaye Manunu alivyopotea, hata Aliyekuwa Rais wa Marekani awamu ya 44 Barack Obama naye anaomboleza kifo cha mbwa wake aitwaye Bo ambaye amekufa kwa Ugonjwa wa Kansa.
 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi