Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makundi yaoneshana viwango Robo Fainali Dance100%

Jumamosi , 23rd Aug , 2014

Hatua ya robo fainali ya shindano kubwa kabisa la Kudance la Dance 100% 2014, yamefanyika leo katika uwanja wa Don Bosco Oysterbay ambapo makundi 16 yamepambana mbele ya majaji na hatimaye kupata makundi 10 ambayo yanasonga mbele nusu fainali.

Kundi la Quality Boys likiwa linaonyesha uwezo mbele ya majaji leo

Makundi ambayo yamefanikiwa kusonga mbele katika mashindano haya ni pamoja na Quality Boys, Dar Crew, Best Boys, The WT, The Winners Crew, Wakali Sisi, Tatanisha Dancers, GOP, Wazawa Crew na Mazabe Powder.

Kivutio kikubwa katika mashindano haya leo ni namna ambavyo makundi yameweza kuonyeshana uwezo sambamba na burudani mbalimbani, ikiwepo onyesho za sarakasi na ujuzi wa kucheza na baiskieli kutoka kwa vijana wa Grand Malt, zawadi mbalimbali zikitolewa kwa mashabiki zikiwepo kofia na Tshirt kutoka kwa wadhamini Vodacom na EATV pia.

Unaweza kufuatilia kilichojiri katika mashindano haya kupitia www.twitter.com/eastafricatv ama tembelea https://eatv.tv/shows/dance-100 na pia na kwa kutazama kilichojiri leo, usikose show kali ya Dance 100% kupitia EATV, Jumatano saa 1 kamili jioni.

Kwenda sambamba na mashindano haya katika mitandao ya kijamii, tumia #2014Dance100

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi