Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lordeyes ajivika Ufalme

Jumatano , 28th Jun , 2017

Rapa Lordeyes Mweusi wa N2N, amedai toka alipoamua rasmi kurudi kwenye game ya muziki wa hip hop atakuwa anaachia mikwaju mfululizo ili kuwapa tiba mashabiki wake ambao walikosa muziki mzuri kutokana na  kukosekana kwa mrithi wa nafasi yake.

Rapa Lordeyes

Leo wakati akitambulisha ngoma yake mpya  kwa mara ya kwanza ndani ya Planet Bongo ya East Africa Radio 'Manyota wa Mtaa', Lordeyes amesema kwamba anatambua ni jinsi gani mashabiki wanaugua kwa kukosa muziki mzuri kwani hakuna mtu aliyeweza kuziba pengo lake hata baada ya kukaa muda mrefu nje ya game.

"Najua watu wangu walikosa ile ladha ya  'African hip hop' ambayo tunayo wachache sana. Kiti changu ni kama cha Albert Mangwea yaani tangu alipoondoka wamepita kujaribu kuziba pengo lake na imeshindikana,  Sasa kwa upande wangu nmerudi kwenye kiti maana watu walishindwa kutumia fursa wakati nipo nje ya game sasa nimerudi mwenyewe. Mashabiki zangu najua jinsi ya kuponya ugonjwa wao yaani kazi juu ya kazi tutaenda sawa tu, najua tiba yao.

Aidha Lordeyes amewasihi mashabiki zake wasikate tamaa kwani ladha za hip hop za Afrika wanazozisikia kutoka kwa wasanii wa kimataifa kama Sarkodie na wengine watazisikia mfululizo kutoka kwake.

Loreyes ameachia ngoma aliyomshirikisha mnako mwenzake G Nako huku Bugalee akiwa ndiyo mpishi wa wimbo huo uliopewa jina la Manyota wa Mtaa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali