Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Linah aweka wazi hofu yake sasa

Ijumaa , 16th Feb , 2018

Mwanamuziki diva wa Bongo Fleva, Linah Sanga ' Ndege Mnana' ameweka wazi hofu yake juu ya kuibiwa baba wa mtoto wake na wadada wa mjini (nyakunyaku) ndiyo sababu ya kupunguza kasi ya kumuweka mtandaoni kama jinsi ilivyokuwa awali.

Linah ameweka wazi hofu yake hiyo mbele ya kamer za eNEWZ wakati akifafanua tetesi za kupigwa kibuti na mfanyabishara huyo (Shabani Mchovu)  ambaye wamefanikiwa kupata mtoto wa kike mwaka 2017.

Linah amesema kwamba yeye na Mchovu tayari wana takribani miaka miwili kwenye mahusiano na watu wengi wanafahamu kuwa ni wapenzi hivyo kumuanika mitandaoni ni kuzidi kuwatamanisha nyaku nyaku kumnyakua mpenzi wake ili kutaka kujua anakitu gani ambacho yeye anakipata kwa mpenzi wake huyo.

Aidha mwanamuziki huyo ambaye amerudi na ngoma mpya 'Same Boy' aliyomshirikisha Rachel Kizunguzungu amesema kwamba  "mchumba wangu ni mtu ambaye anaheshima katika ofisi yake, hivyo siiwezi kumuingiza kwenye drama za kitoto au kumweka wazi haswa kwenye mitandao  kwa kuwa nahofia kumshushia heshima yake lakini pia. Hayo ni mambo ya kitoto sana kuanika mapicha picha ukiwa na mpenzi wako".

Aidha ameweka sawa tetesi za kuchwa na kusema kwamba mapenzi na mpenzi wake hayajapungua wala hayajaisha na tangu wafanikiwe kupata 

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali