Coi Leray na mpenzi wake Justin Laboy
Coi Leray amesema hilo akizungumzia na Justin Laboy kupitia Podcast yake ya "Respectfully, "The Justin Laboy Show".
"Ku-like picha ni usaliti siamini kama kuna bahati mbaya" anasema Coi Leray
Pia ameongeza kusema wanaume walio kwenye mahusiano hawatakiwi kuwa na marafiki wa kike.
Japo mpenzi wake alipinga mtazamo huo wa ku-like picha za wanawake wengine ni usaliti sababu anaweza kukutana na picha hizo kwa bahati mbaya na ku like bila kujua.




