Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kilichomfanya Nahreel apagawe kwa Aika, hiki hapa

Jumatano , 15th Feb , 2017

Msanii na producer Nahreel amefunguka sababu kubwa iliyomfanya kumpenda mpenzi wake Aika, ambaye wanaunda naye kundi la Navy Kenzo kuwa ni kutokana na uzuri wa mashavu yake na siyo hips wala kifua kizuri.

Producer Nahreel akiwa na mpenzi wake Aika, kwa pamoja wanaunda kundi la Navy Kenzo.

Nahreel aliyasema hayo alipokuwa akiongea na EATV na kusema watu wengi wanadhani huenda alimpenda Aika kutokana na uzuri wake wa sura, uzuri wa umbo au uzuri wa kifua chake 

"Watu wengi wanadhani nimempenda Aika kutokana na umbo lake au kifua chake hapana, kikubwa kilichofanya nimepende Aika ni yale mashavu yake na nimekuwa namtania sana hata usiku napolala huwa nayapiga piga sana, hicho ndicho kilinifanya nimpende Aika" alisema Nahreel

Mbali na hilo Nahreel anasema katika miaka 9 ya mahusiano yao Aika amekuwa msaada mkubwa kwake kufikia lengo lake la kuwa producer mkubwa na kumiliki studio kubwa yenye viwango kwani alikuwa anampa moyo na kumsukuma kufika ndoto yake hiyo.

"Leo nasema huenda nisingekuwa na Aika labda nisingekuwa hapa leo, haya mafanikio niliyopata katika kila kitu katika miaka tisa toka nipo naye ni kutokana na msukumo wake hivyo naweza kusema haya mafanikio tumejenga kwa pamoja" alisisitiza Nahreel

Aika

Kwa upande wake Aika anasema katika mahusiano yao changamoto kubwa huwa wanaipata katika kufanya maamuzi hususani maamuzi ya mwisho katika kitu chochote.

"Siku zote katika mahusiano yetu tunapata changamoto kwenye final decision ya kitu chochote kile, hapo ndiyo huwa tunapishana au kunakuwa na ugumu zaidi kwetu, lakini katika miaka tisa toka nipo kwenye mahusiano na Nahreel sina cha kujutia kabisa kwani tuna mengi ya kujivunia katika maisha yetu na maisha ya mtu mmoja mmoja" alisema Aika 

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu