Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

'Kazi yake Mola' nilituliza kichwa - Madee

Alhamisi , 18th Mei , 2017

Madee Seneda amefunguka na kudai siri ya wimbo wa kazi yake mola kufanya vizuri mpaka sasa ni kutokana na kutuliza kichwa wakati anaandika mashairi yake tofauti na vijana wa sasa ambao wanaingia studio wakiwa hawajui wanataka kuimba nini.

Jana akiwa kwenye Planet Bongo ya East Africa radio, Madee amesema kuwa pamoja na kuwa zimeimbwa nyimbo nyingi zenye mahadhi ya maombolezo lakini 'Kazi yake Mola' bado imeendelea kuwa wimbo bora kutoka na mashahiri kupangiliwa kwa ubunifu wa hali juu ikiwa ni pamoja na 'beat' ya P. Funk Majani.

"Kazi yake Mola P. Funk aliitengenezea beat ambalo mpaka sasa limeweza kudumu, lakini pia mashairi niliyaandika kwa umakini mkubwa kwani ndo nilikuwa nimepatiwa nafasi ya kuonyesha uwezo wangu. Japo wimbo haukuwa wa kutoka officially lakini nilijitahidi kuandika mashairi yenye maudhui, ndio maana mpaka sasa wimbo unaonekana hit. Vijana wa sasa wameshindwa kutoa nyimbo itakayoizidi 'kazi yake mola' kwani wengine mpaka wanaingia studio hawana hata mashairi wanataka wasikie mdundo ndio wapate kitu cha kusema"- Madee.

Aidha Madee ameongeza kutokana na ubora wa kazi yake mola amewaomba mashabiki zake kuendelee kuutumia katika maombolezo ya ndugu, jamaa na marafiki akiwepo Msanii aliyetamba na wimbo ya Kazi yangu ya dukani, Dogo Mfaume aliyefariki dunia mapema jana.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA