Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kalapina ajitapa kuongeza mashabiki wa kike

Jumamosi , 7th Feb , 2015

Msanii mkongwe katika gemu ya hip hop hapa Bongo, Kalapina amesema kuwa ngoma yake mpya ya Good Time ambayo amemshirikisha Ommy Dimpoz ndani yake, imekuwa ni kazi ambayo imemletea mafanikio makubwa

Kalapina

Kalapina amesema kuwa ngoma hiyo pia imemuongezea mashabiki zaidi hususan wale wa kike kutokana na utofauti wake.

Kalapina amesema kuwa, kwa muda mrefu hakuwa amehusisha ishu ya mapenzi katika kazi zake, na baada ya kuamua kufanyakazi ya aina hiyo na kumshirikisha mwana bongo flava Ommy Dimpoz, anaweza kusema kuwa rekodi hii imekuwa ni ngoma ya hip hop inayochezwa na pia kununuliwa mtandaoni zaidi.

Kalapina amesema kuwa, kupitia kazi hiyo amegundua kuwa mapenzi humgusa kila mtu na ujumbe wake huwafikia mashabiki kwa urahisi, huku akisema kuwa kwa sasa atakuwa akifanya kazi zile tu ambazo zitakuwa zinahitajika na mashabiki, kauli ambayo inatengua misingi ya 'Ugumu" ambayo rapa huyo amekuwa nao tangu alipoanza gemu ya rap.

HABARI ZAIDI

Waziri wa TAMISEMI Mohamed Mchengerwa

Aonya wanaochangia watumishi kutopanda madaraja

Edgar Lungu, Rais wa Zamani Nchini Zambia Akitembea Kuzunguka Mji Mkuu wa Lusaka

Rais wa zamani Zambia Bw. Lungu hatarini kukamatwa

Mkuu wa Ulinzi Ukraine (Picha ya Website)

Zelensky amfukuza kazi mkuu wake wa ulinzi

Baadhi ya Wananchi wa Chindi na Ntinga wakiwa katika Harakati za Kuvuka Mto

Walazimika kulipa hadi 8000 kuvuka mto kwa mtumbwi

Mohamedi Mchengerwa, Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).

Wanaozuia watumishi kupanda vyeo wakaliwa kooni

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma