Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Jinsi Majani alivyombadilisha Harmorapa

Ijumaa , 21st Apr , 2017

Msanii Harmorapa amekiri kuwa mtayarishaji mkongwe wa muziki Bongo P Funk Majani ndiye amembadilisha kutoka kwenye uimbaji wa rap wa kizamani hadi kufikia kurekodi kiboko ya mabishoo ambayo inaendana sawa na soko la muziki wa sasa.

Harmorapa na P Funk ndani ya FNL

Akiwa Kikaangoni Harmorapa amesema kuwa baada ya kutoa ngoma ya kwanza 'Usigawe pasi' Majani alimtafuta na kumpongeza kuwa anajua kuandika lakini bado uimbaji ni wa kizamani hivyo akaanza kumtengeneza ili kukaa sawa.

"Unajua Majani ni legend producer hapa nchini. mimi alinitafuta nilipoachia tu ngoma ya kwanza usigawe pasi akaniuliza vipi, nikasema nina ngoma zingine nilizowahi kurekodi nikamsikilizisha. Alinipongeza  kwenye uandishi kwamba najua kuandika ila tatizo lipo kwenye rap yangu kuwa ilikuwa ya kizamani sana na kwamba muziki ni biashara, akaniambia kilichobaki kwangu ni training tu ili nifanye poa"- Harmorapa.

Amesema baada ya ushauri na maelekezo kutoka kwa Majani, nipo aliporekodi Kiboko ya Mabishoo, pamoja na ngoma nyingine ambazo amesema zinatoka muda si mrefu, akiwa amebadilika kabisa.

HABARI ZAIDI

Sehemu ya Ardhi iliyoathirika na Mabadiliko ya Tabia Nchi

Hizi hapa sababu za hali ya hewa isiyotarajiwa

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali