Staa wa muziki Janjaro aka Dogo Janja
Janjaro ambaye amekuwa chini ya usimamizi wa Madee katika kipindi chote hicho, ameeleza kuwa, pembeni ya kazi hiyo ya muziki amekuwa akijiweka karibu na biashara, akionekana pia akijihusisha na matangazo ya mavazi ya wabunifu, binafsi akisema ana nyenzo kadhaa za kumpatia pesa.





