Jumatatu , 28th Jun , 2021

Mwimbaji maarufu wa Nigeria, J. Martins ametunukiwa shahada ya udaktari kutoka katika chuo kikuu cha Estam huko Jamhuri ya Benin.

Picha ya pamoja msanii J Martins na Mike Ezuruonye

J. Martins aliyewahi kushirikishwa kwenye wimbo wa pamoja wa Mwana FA na AY ‘bila kukunja goti’ ame-share picha na video kwenye ukurasa wake wa instagram huku akielezea furaha yake kwa mashabiki juu ya heshima hiyo aliyoipata.